MWANAUME AUWAWA KINYAMA KAPTUM,ELGEYO MARAKWET.

You are currently viewing MWANAUME AUWAWA KINYAMA KAPTUM,ELGEYO MARAKWET.

Taharuki imetanda katika kijiji cha Nyawa katika kaunti ndogo ya Keiyo Kaskazini kaunti ya Elgeyo Marakwet baada ya mwanamume mmoja kuvamiwa na kuawa na wanakijiji.

Kulingana na naibu kamishena wa eneo hilo Julius Maiyo, mwendazake alikuwa ameandamana na vijana kutoka kijiji cha Kaptum kwenda kumfuata mke wake hadi nyumbani kwao ambapo wanakijiji walimvamia

Maiyo ameongeza kwamba mwanamme mwingine ambaye alikuwa miongoni mwa vijana hao anauguza majeraha mabaya huku akisema marehemu na mkewe walikuwa na mzozo wa kinyumbani kabla ya mke wake kutorokea nyumbani kwao.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa