MASHABIKI WAMTETEA WILLY PAUL BAADA YA MWANAMKE MMOJA NCHINI KUDAI ANA UJA UZITO WA MSANII HUYO.

You are currently viewing MASHABIKI WAMTETEA WILLY PAUL BAADA YA MWANAMKE MMOJA NCHINI KUDAI ANA UJA UZITO WA MSANII HUYO.
  • Post category:Burudani

Baada ya mrembo anayefahamika kwa jina la Dee kudai kwamba ana uja uzito wa staa wa muziki nchini Willy Paul.

Sasa baadhi ya mashabiki wa msanii huyo wamejitokeza na kukanusha madai yaliyoibuliwa na mrembo huyo.

Wakiongozwa na mwanadada maarufu mitandaoni  aitwaye Manzi wa Kibera wamesema tuhuma hizo hazina ukweli wowote ila mrembo huyi anajaribu kulitumia jina la Willy Paul kujitafutia umaarufu.

Kauli ya mashabiki wa willy Paul inakuja baada ya mrembo kwa jina Dee kudai kuwa Willy Paul alimpa ujauzito na kisha akamkimbia, hivyo amehamua kuweka suala hilo wazi ili mtoto wake mtarajiwa apate matunzo kutoka kwa msanii huyo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa