MAREKANI: TIGER WOODS APATA AJALI YA GARI

You are currently viewing MAREKANI: TIGER WOODS APATA AJALI YA GARI
  • Post category:Michezo

Bingwa mara 15 wa Mchezo wa Gofu duniani, Tiger Woods amepata ajali ya gari huko Los Angeles na anafanyiwa upasuaji kufuatia majeraha ya miguu aliyopata.

Kwa mujibu wa ripoti, gari aliyokuwa nayo Woods mwenye umri wa mika 45 imeharibika vibaya na alitolewa eneo la ajali na Vikosi vya Zimamoto pamoja na Huduma ya Kwanza.

Imeelezwa kuwa, wakati akiokolewa alikuwa anajitambua

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa