IBRAHIMOVIC NA LUKAKU WAFUNGIWA.

You are currently viewing IBRAHIMOVIC NA LUKAKU WAFUNGIWA.
  • Post category:Michezo

Washambuliaji, Zlatan Ibrahimovic na Romelu Lukaku wamepewa adhabu ya kufungiwa mchezo mmoja wa Ligi Kuu Italia kufuatiwa kuanzisha vurugu katika mchezo wa ‘Derby ya Milan’ uliopigwa Jumanne iliyopita.

Ibrahimovic atakosa mchezo mmoja baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano moja ya kadi hizo ni baada ya kuanzisha vurugu dhidi ya Lukaku.

Lukaku alipewa kadi ya njano ya pili baada ya kupata kadi nyingine katika mchezo wa nyuma wa kombe la Coppa Italia.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa