KALIFAH AGANAGA ATANGAZA UJIO WA ALBUM YAKE MPYA.

You are currently viewing KALIFAH AGANAGA ATANGAZA UJIO WA ALBUM YAKE MPYA.
  • Post category:Burudani

Staa wa muziki nchini Uganda Kalifah Aganaga ametangaza kuja na album mpya mwaka huu.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook Aganaga amesema baada ya kushindwa kuachia nyimbo kali mwaka jana, sasa mwaka huu anakuja na album mpya ambayo itakithi vigezo vyote vya wapenzi muziki mzuri kutoka Afrika Mashariki.

Hata hivyo amesema mwaka wa 2020 alipoteza muda wake mwingi kwenye masuala ya siasa lakini sasa ameelekeza nguvu zake zote kwenye suala la kuwapa mashabiki zake muziki mzuri ambao wameukosa kwa muda.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa