GRENADE ATANGAZA KUANDAA TAMASHA KUBWA LA MUZIKI NCHINI UGANDA.

You are currently viewing GRENADE ATANGAZA KUANDAA TAMASHA KUBWA LA MUZIKI NCHINI UGANDA.
  • Post category:Burudani

Msanii wa muziki kutoka Uganda Grenade amedokeza kuwa ana mpango kuandaa tamasha kubwa la muziki mwaka huu.

Akipiga stori kwenye moja ya interview Grenade amesema angefanya mwaka wa jana lakini kutoka na mlipuko wa virusi vya  corona alilazimika kuahirisha mpango huo.

Hata hivyo ameitaka serikali ya Uganda kulegeza msimamo wa kupiga marufuku mtamasha ya muziki ili wasanii waanze tena kuingiza pesa.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa