GOOGLE YATISHIA KUJIONDOA AUSTRALIA IWAPO SHERIA HII IKIPITA

You are currently viewing GOOGLE YATISHIA KUJIONDOA AUSTRALIA IWAPO SHERIA HII IKIPITA
  • Post category:Teknolojia

Google imetishia kuondoa kitafutio chake (search engine) nchini Australia huku Facebook ikidai itaondoa maudhui ya habari iwapo sheria mpya ya inayoyataka makampuni hayo yavilipe vyombo vya habari ikipitishwa.

Sheria hiyo iliyopendekezwa na bunge la Australia itawalazimu Facebook na Google kujadiliana malipo na mashirika ya habari ambayo habari zake zinatokea kwenye majukwaa hayo.

Google na Facebook wanadai kuwa sheria hiyo haitatekelezeka na kwamba ni tishio kwa aina ya biashara yao.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa