GOOGLE KUBADILISHA MUONEKANO WAKE KWENYE SIMU.

You are currently viewing GOOGLE KUBADILISHA MUONEKANO WAKE KWENYE SIMU.
  • Post category:Teknolojia

Mtandao wa Google imechapisha taarifa mpya katika Blogu yake rasmi na kuelezea kuhusu mabadiliko mapya katika muonekano wake kwenye simu.

Google imesema itaanza kuweka muonekano mpya, ambapo imeweka rangi, subtopics na data nyingi zinaonekana kwa urahisi kabla ya kufungua links. Pia subtopics zinaonekana chini ya sehemu ya ku-search ili kumsaidia msomaji kupata taarifa za aina tofauti kuendana na unachotafuta.

Hii ni moja katika ya mabadiliko ambayo Google ilitangaza kwenye ile hafla ya Search On ambayo Google ilitambulisha mabadiliko mapya yatakayoanza mwaka huu katika tovuti yake.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa