WHATSAPP IMEKANUSHA KUHUSU KUTUMIA TAARIFA ZA CHATS ZA WATUMIAJI WAKE.

You are currently viewing WHATSAPP IMEKANUSHA KUHUSU KUTUMIA TAARIFA ZA CHATS ZA WATUMIAJI WAKE.
  • Post category:Teknolojia

WhatsApp imekanusha kuhusu kutumia taarifa za chats za watumiaji wake, imesisitiza kuwa WhatsApp inatunza chats za watumiaji wake katika mfumo wa End-to-End encryption ambapo ni mtumaji na mpokeaji wa message peke yake ndio ambao wanaweza kufahamu kilichopo katika chats.

Imekanusha uvumi wa kutumia vibaya na imesema chats za watumiaji zitaendelea kubaki kuwa ni siri. Pia Voice-calls na audio-calls zote ni encrypted na hazihifadhiwi katika servers.

Kwa upande mwingine ni vyema watumiaji wake kufahamu taarifa ambazo WhatsApp itakuwa inakusanya na ku-share na Facebook hazitahusisha taarifa za kwenye chats.

Chats zitaendelea kuwa encrypted na hakuna ambaye ataweza kuzitazama, hata whatsApp yenyewe imesema haiwezi kufahamu kilichopo katika chats.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa