BROWSER YA CHROME IMEWEKA MIPANGILIO MPYA KWENYE TABS KWA WATUMIAJI WOTE WA ANDROID.

You are currently viewing BROWSER YA CHROME IMEWEKA MIPANGILIO MPYA KWENYE TABS KWA WATUMIAJI WOTE WA ANDROID.
  • Post category:Teknolojia

Chrome imeweka muonekano mpya wa tabs kwa watumiaji wote wa Android. Browser hii inayotumika na watumiaji wengi duniani, imeboresha mpangilio wa tabs.

Tabs ni kurasa za website (tovuti) ambazo umezifungua kwa pamoja, mpangilio mpya wa website zitajipangilia katika style ya Grid lakini pia website ambazo umezifungua kwa pamoja unaweza kuziweka sehemu moja na kutengeneza group.

Ni njia nzuri na mpangilio unaosaidia watumiaji ambao wanafungua browser nyingi kwa pamoja mfano ukiwa unasoma au kuperuzi story moja inayofanana utaweza kufungua website nyingi kwa pamoja na kuzipangilia. Hii ni kwa watumiaji wa Android katika app ya Chrome.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa