EX WA MCHEKESHAJI ERIC OMONDI-CHANTEL AMTAMBULISHA BOYFRIEND WAKE MPYA 

You are currently viewing EX WA MCHEKESHAJI ERIC OMONDI-CHANTEL AMTAMBULISHA BOYFRIEND WAKE MPYA 
  • Post category:Burudani

Mrembo Chantal Juliet Grazioli hayupo tena sokoni kwani  amepata boyfriend mpya.

Chantal alikuwa girlfriend wa mchekeshaji humu nchini Eric Omondi. Wawili hao waliachana mwaka 2018, miaka miwili baada ya kuchumbiana.

Hawajawahi kueleza sababu ya kufanya hivyo japo wameendelea kuwa marafiki hadi sasa na Eric amekuwa akiweka comments mara kadhaa kwenye picha za ex wake huyo.

Kupitia Instagram wiki iliyopita, Chantal aliweka picha akiwa na boyfriend wake mpya na kuweka emoji za ‘malavidavi’ pasipo maelezo mengine.

Mashabiki wa mrembo huyo wameonekana kumkubali shemeji yao mpya.

“Now that’s your kind of guy,” ameandika shabiki mmoja na kuongeza, “we can clearly see the love,as of what’s his face Eric who, hangemake.”

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa