COUNTRY BOY KUTUMIA PICHA YA BI. KIDUDE KAMA COVER YA ALBUM YAKE IJAYO.

You are currently viewing COUNTRY BOY KUTUMIA PICHA YA BI. KIDUDE KAMA COVER YA ALBUM YAKE IJAYO.
  • Post category:Burudani

Ukitaja wakongwe wa muziki wa Taarab huwezi kumuacha marehemu Bi.Kidude  ambaye ni moja kati ya wanamuziki waliowavutia watu wengi sana, rapa Country Boy kutoka Tanzania ni moja ya watu wanaovutiwa na marehemu Bi.Kidude .

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Country Boy ameweka wazi kuwa ana mpango wa kuachia albam yake mwaka huu na anatamani kutumia picha ya Bi.Kidude kama cover ya albam hiyo.

Tuna imani kama ataamua kuitumia picha ya mkongwe huyo kama cover ya albam yake, basi atafuata utaratibu kama inavyotakiwa ili kuitumia picha hiyo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa