CINDY ASHAMBULIWA NA MASHABIKI BAADA YA KUWATOZA WASANII CHIPUKIZI PESA ZA COLLABO.

You are currently viewing CINDY ASHAMBULIWA NA MASHABIKI BAADA YA KUWATOZA WASANII CHIPUKIZI PESA ZA COLLABO.
  • Post category:Burudani

Staa wa muziki wa Dancehall kutoka nchini Uganda Cindy Sanyu amejipata pabaya baada ya mashabiki wa muziki nchini humo kumshambulia kwenye mitandao ya kijamii.

Hii ni baada ya msanii huyo kuweka wazi kwamba ili afanye collabo na msanii yeyote chipukizi anahitaji shillingi laki 1.5 kama malipo.

Sasa kauli hiyo ya Cindy imeonekana kuwakera baadhi ya wadau wa muziki nchini Uganda ambao wameenda mbali zaidi na kumtaka msanii huyo aache suala la kuwatoza pesa wasanii chipukizi na badala yake awasaidie kimuziki kama namna ambavyo wasanii wengine wakubwa nchini humo wamekuwa wakifanya.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa