CHRIS EVANS ADOKEZA MPANGO WA KUFUNGA NDOA MWAKA UJAO.

You are currently viewing CHRIS EVANS ADOKEZA MPANGO WA KUFUNGA NDOA MWAKA UJAO.
  • Post category:Burudani

Staa wa muziki nchini Uganda Chris Evans amefunguka na kusema kwamba ana mpango kufunga ndoa hivi karibuni.

Mkali huyo wa ngoma ya “Sitidde” amedokeza hayo kwenye moja ya interview akisema kuwa amechoshwa na maswali kuhusu maisha yake ya ndoa.

Chris Evans amesema kwa sasa yupo kwenye mahusiano na mwanamke wa ndoto yake, hivyo kila kitu kipo shwari.

Alipoulizwa amtambulishe mwanamke huyo Chris Evans alidinda na kusema kuwa watu watamfahamu hivi karibuni.

Ikumbukwe Chris Evans ni kipenzi cha wanawake wengi nchini Uganda kutokana na sauti yake ya kumtoa nyoka pangoni.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa