BODI ZA TAASISI MBALIMBALI TRANS-NZOIA ZATAKIWA KUAJIRI MADEREVA WA MABASI YA SHULE WENYE UJUZI.

You are currently viewing BODI ZA TAASISI MBALIMBALI TRANS-NZOIA ZATAKIWA KUAJIRI MADEREVA WA MABASI  YA SHULE WENYE UJUZI.

Bodi ya usimamizi za taasisi mbalimbali zimehimizwa kuhakikisha kwamba madereva wanaoajiriwa kuendesha mabasi ya shule ni wale waliokomaa na wenye tajriba ya kuhakikisha wanafunzi wako salama barabarani

Meneja wa eneo Bunge la Kiminini kaunti ya Trans-Nzoia Jackson Muganda anasema hazina za ustawishaji maeneo bunge CDF na ugatuzi imepiga jeki maendeleo ya mashinani kwa kuwawezesha wasimamizi kuimarisha miundo misingi shuleni na vilevile ya kununua mabasi.

Aidha Muganda ameonya kwamba wakuu wa shule watakaokiuka sheria kwa kutumia njia za mkato na kuwaajiri jamaa zao wataadhibiwa kisheria.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa