WAZAZI ELGEIYO MARAKWET WATAKIWA KUWA MABALOZI WEMA KWA WANAO.

You are currently viewing WAZAZI ELGEIYO MARAKWET WATAKIWA KUWA MABALOZI WEMA KWA WANAO.

Naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Marakwet Mashariki kaunti ya Elgeiyo Marakwet Simon Osumba ametoa wito kwa wazazi kuhakikisha wanawaelekeza wanao kwa njia bora kupitia mafunzo na mawaidha ili wasijihusishe na utovu wa nidhamu ambao umeendelea kushuhudiwa katika shule mbalimbali nchini

Akizungumza katika shule ya upili ya Kipkaner wakati wa ufunguzi wa madarasa yaliyojengwa kwa fedha za CDF, Osumba amesema wazazi wamewatelekeza wanao na hivyo kuchangia uozo katika jamii.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa