BI KENYATTA: BUNGE LINAFAA KUPITISHA SHERIA YA USAWA WA JINSIA

You are currently viewing BI KENYATTA: BUNGE LINAFAA KUPITISHA SHERIA YA USAWA WA JINSIA

Juhudi zaidi zinapaswa kuwekwa ili kuhakikisha thuluthi mbili ya uwakilishi wa akina mama katika nafasi za uwongozi inaafikiwa humu nchini.

Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Wanawake ulimwenguni mama wa taifa Bi Margret Kenyata amesema akina mama wana uwezo mkubwa wa kufanikisha maendeleo nchini iwapo watawezeshwa

Aidha amewataka akina mama kusimama kidete na kuwania nafasi za uwongozi huku pia akisisitiza kwamba juhudi za pamoja zinahitajika kupigana na ukeketaji sawa na visa vya ndoa za mapema ili kufanisha ukuaji wa jamii ya kesho.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa