ANGELLA KATATUMBA ADAI WANAMUZIKI WA UGANDA WANA UELEWA MDOGO KWENYE MUZIKI.

You are currently viewing ANGELLA KATATUMBA ADAI WANAMUZIKI WA UGANDA WANA UELEWA MDOGO KWENYE MUZIKI.
  • Post category:Burudani

Mwanamuziki anayesuasua kwenye kiwanda cha muziki nchini uganda Angela Katatumba amedai kuwa wasaniii wengi nchini humo wana uelewa mdogo kwenye masuala ya muziki kwani hawajasafiri maeneo mbali mbali ulimwengu.

Akipiga stori na Voice of Africa, hitmaker huyo wa ngoma ya “Tonelabira” amesema imefika wakati wanamuziki wa uganda waache kuwa na mawazo finyu kwenye muziki wao na badala yake wajifunze kutoka kwa wasanii waliofanikiwa kutoka maeoneo mengine duniani.

Hata hivyo Angela Katatumba amesema suala la wasanii kutegemea soko la uganda pekee limepelekea wengi wao kutoa muziki duni ambao haujakamilika kwa sababu hawajapata msukumo wa kufanya muziki mzuri

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa