AMBER LULU AZIDI KUSISITIZA KUWA P-FUNK MAJANI SIO BABA WA MTOTO WAKE AJAE.

You are currently viewing AMBER LULU AZIDI KUSISITIZA KUWA P-FUNK MAJANI SIO BABA WA MTOTO WAKE AJAE.
  • Post category:Burudani

Baada ya maswali kuwa mengi kuhusiana na muhusika wa ujauzito wake,hatimaye msanii wa Bongo fleva Amber Lulu amemtaja msanii kutoka kundi la “B.O.B Micharazo ” Emba Botion kuwa ndiye muhusika wa ujauzito wake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Amber Lulu amepost picha ya Mr Botion na kuandika “Naona maswali yenu yaishie hapa baba K uyo apoo, Sito kuwepo insta kwa muda Kidogo”

Ikumbukwe kabla ya Amber Lulu kumtambulisha baba wa mtoto wake huyo watu wengi walihisi kwamba Prodyuza P-Funk Majani ndio mhusika wa ujauzito wake taarifa ambazo mrembo huyo alikuja akazikana kwa kudai kwamba hajawahi kutoka kimapenzi na P-Funk Majani kama inavyosemwa mitandaoni.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa