ALI KIBA KUKITA KAMBI NIGERIA KWA WIKI MBILI ZIJAZO.

You are currently viewing ALI KIBA KUKITA KAMBI NIGERIA KWA WIKI MBILI ZIJAZO.
  • Post category:Burudani

Baada ya kuufungua mwaka wa 2021 vizuri na wimbo wake wa “Infidele”, Boss wa lebo ya muziki ya Kings Music Ali Kiba ameweka kambi nchini Nigeria mapema wiki hii ambapo atakaa kwa muda wa wiki mbili

Alikiba ameweka bayana hilo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo ameandika “Lagos for 2 weeks, Album almost done”. 

Album ya Alikiba mpaka sasa haijafahamika itaitwaje na itatoka rasmi mwezi gani japo tetesi zinasema kwamba itatoka mwezi April mwaka huu wa 2021 na itakuwa na nyimbo si chini ya 20.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa