WAKULIMA UASIN GISHU WASHAURIWA KUKUMBATIA MBINU ZA KISASA ZA UFUGAJI.

Wakulima katika kaunti ya Uasin Gishu wametakiwa kukumbatia mbinu za kisasa za ufugaji kama njia mojawapo ya kuboresha uzalishaji

Akizungumza katika kituo cha kilimo cha Chebororwa Gavana wa kaunti ya Uasin Gishu Jackson Mandago anasema kuna manufaa mengi kwa wakulima kukumbatia kilimo cha kisiasa kwani wataongeza mapato na kujiinua kiuchumi

Aidha baadhi ya wakulima wamekiri kuwapo na bei duni kwa mifugo wao huku wakiahidi kukumbatia mbinu za kisasa ili kupata bei nzuri kwenye soko ya sasa yenye ushindani mkubwa

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa