VIJANA ELGEYO MARAKWET WAHIMIZWA KUHUBIRI AMANI WAKATI HUU TAIFA LINAELEKEA UCHAGUZI 2022

You are currently viewing VIJANA ELGEYO MARAKWET WAHIMIZWA KUHUBIRI AMANI WAKATI HUU TAIFA LINAELEKEA UCHAGUZI 2022

Vijana kutoka kaunti ya Elgeiyo Marakwet wakiongozwa na Dennis Cherono wamewakumbusha wenzao kwamba hakuna faida yoyote ambayo watapata kwa kuvuruga amani ingekuwa bora wajihusishe zaidi kwenye maswala ambayo yanaweza kuwafaidi

Kwenye mkao na waandishi wa habari mjini Eldoret, vijana hao wanaitaka serikali kuwasaidia vijana kwa kuliangazia swala la ukosefu wa ajira ambalo wanasema limewakumba vijana wengi nchini hali ambayo imechangia wengi wao kutumika vibaya.

Kuhusu mchakato wa BBI vijana hao wanataka kila mkenya apewe nafasi ya kutoa maoni yake bila kuwa na vizuizi na mapendeleo yeyote ili iwe na manufaa kwao baada ya kura ya maamuzi kufanyika.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa