GAVANA LONYANGAPUO APONGEZA JUHUDI ZA WAHUDUMU WA AFYA KUSAMBAZA CHANJO YA CORONA.

You are currently viewing GAVANA LONYANGAPUO APONGEZA JUHUDI ZA WAHUDUMU WA AFYA KUSAMBAZA CHANJO YA CORONA.

Serikali ya kaunti ya Pokot Magharibi imeipongeza wizara ya afya nchini pamoja na wahudumu wa afya  kwa kusambaza chanjo  dhidi ya Corona.

Gavana wa kaunti hiyo  John Lonyangapuo,anasema  kuwa serikali yake iko  tayari kwa  chanjo ya Corona inayosubiriwa kuwasili hapo   kesho,akisema watu ambao watakuwa mstari wa mbele kuwahudumia wananchi watapewa kipau mbele.

Aidha anasema  viongozi wamewapa kipau mbele wananchi katika chanjo hiyo huku akisema hawapaswi kuwa na hofu kwani tayari utafiti wa kutosha umefanywa.

wakati huo huo  amewasihi Wakenya kuendelea kuzingatia  kanuni na sheria zilizowekwa kuthibiti msambao wa Corona.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa