SERIKALI YAPIGA MARUFUKU DISCO MATANGA

You are currently viewing SERIKALI YAPIGA MARUFUKU DISCO MATANGA

Hafla za burudani mazishini maarufu disko matanga zimepigwa marufuku katika Kaunti ya Trans nzoia

Akizungumza katika eneo bunge la Cherangany Kaunti ya Trans nzoia waziri wa usalama wa kitaifa  daktari Fred Matiangi anasema hatua hiyo imechukuliwa kama njia moja ya kukabili visa vya mimba za mapema miongoni mwa Wasichana wenye umri mdogo.

Aidha ameamuru kukamatwa kwa washukiwa wote wa visa vya mimba za mapema ikizingatiwa kwamba wasichana alfu kumi wameripotiwa kupachikwa mimba msimu wa janga la korona.

Akizungumza katika eneo bunge la Cherangany Kaunti ya Trans nzoia waziri wa usalama wa kitaifa  daktari Fred Matiangi anasema hatua hiyo imechukuliwa kama njia moja ya kukabili visa vya mimba za mapema miongoni mwa Wasichana wenye umri mdogo.

Aidha ameamuru kukamatwa kwa washukiwa wote wa visa vya mimba za mapema ikizingatiwa kwamba wasichana alfu kumi wameripotiwa kupachikwa mimba msimu wa janga la korona.

Alex Toilem

Mwandishi, mhariri na msomaji wa habari Northrift Radio 104.9/104.5FM kapenguria.