SENEGAL: MAANDAMANO YAIBUKA BAADA YA MPINZANI KUSHUTUMIWA KWA UBAKAJI

You are currently viewing SENEGAL: MAANDAMANO YAIBUKA BAADA YA MPINZANI KUSHUTUMIWA KWA UBAKAJI

Maandamano yameendelea kwa siku ya pili Nchini humo baada ya mvutano kati ya Wafuasi wa Kiongozi wa Upinzani, Ousmane Sonko na Polisi kufuatia shutuma za ubakaji ambazo Mwanasiasa huyo anazikataa

Sonko ambaye alikuwa nafasi ya tatu katika Uchaguzi Mkuu 2019 anashikiliwa na anatarajiwa kuhojiwa baada ya kinga ya Bunge aliyokuwa nayo kuondolewa wiki iliyopita

Serikali imethibitisha kifo kimoja kufuatia ghasia hizo na Mamlaka zimelitaka Jeshi kusaidia Polisi kukabiliana na maandamano ambayo huenda yakaendelea zaidi

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa