OPARESHENI YA KUWANASA WANAOKIUKA SHERIA ZA WIZARA YA AFYA KUZUIA CORONA YAANZA KAUNTI YA TRANS NZOIA

You are currently viewing OPARESHENI YA KUWANASA WANAOKIUKA SHERIA ZA WIZARA YA AFYA KUZUIA CORONA YAANZA KAUNTI YA TRANS NZOIA

Kamanda wa polisi Kaunti ya Trans nzoia Fredrick Ochieng’ ametangaza kuanza kwa oparesheni kali ya kuwanasa wale wote ambao wanakiuka sheria zilizowekwa na Wizara ya afya kuzuia kuenea kwa virusi vya corona.

Ochieng’ amesema watawanasa wale wote ambao wamelegeza kanuni hizo wakiwemo wafanyibiashara wenye mikahawa  na vyumba vya burudani.

Ameongeza kwamba wamiliki wa magari hawatasazwa kwenye operesheni hiyo kwa kuwa wengi wao wamekuwa wakikiuka masharti hayo.

Ochieng’ amesema watawanasa wale wote ambao wamelegeza kanuni hizo wakiwemo wafanyibiashara wenye mikahawa  na vyumba vya burudani.

Ameongeza kwamba wamiliki wa magari hawatasazwa kwenye operesheni hiyo kwa kuwa wengi wao wamekuwa wakikiuka masharti hayo.

Alex Toilem

Mwandishi, mhariri na msomaji wa habari Northrift Radio 104.9/104.5FM kapenguria.