MAHAKAMA YA KABARNET YATOA AGIZO KUZUIA BUNGE LA KITAIFA NA SENETI KUIADHIBU BUNGE LA KAUNTI YA BARINGO.

You are currently viewing MAHAKAMA YA KABARNET YATOA AGIZO KUZUIA BUNGE LA KITAIFA NA SENETI KUIADHIBU BUNGE LA KAUNTI YA BARINGO.

Mahakama mjini Kabarnet kaunti ya Baringo imetoa maagizo ya kuzuia mabunge ya seneti na lile la kitaifa kuchukua hatua dhidi ya bunge la kaunti ya Baringo kwa kuangusha mswada wa BBI.

Haya yanajiri baada ya waakilishi wadi wanaoegemea mrengo wa KANU kuwasilisha kesi mahakamani wiki moja iliyopita kupinga matokeo ya kuangushwa kwa mswada huo kwa msingi kwamba haukufuata utaratibu unaohitajika wa kuwahusisha wananchi kupitia mpango wa uhamasisho kabla ya kuwasilishwa bunge.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa