JOSHUA KUTUNY AFURAHIA UTEUZI WAKE KAMA NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA CHA JUBILEE.

You are currently viewing JOSHUA KUTUNY AFURAHIA UTEUZI WAKE KAMA NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA CHA JUBILEE.

Siku moja tu baada Mbunge wa Soy kutimuliwa katika nafasi ya Naibu Katibu mkuu wa chama cha Jubilee, mbunge wa Cherang’any katika kaunti ya Trans-Nzoia, Joshua Kutuny ambaye amechukuwa nafasi hiyo amesema atatumia kuimarisha demokrasia chamani.

Akihutubu katika shule ya upili ya Nyakinywa, ametaja uteuzi huo kuwa heshima kwa wananchi wa Cherangani na   kuongeza kuwa wakenya wanashabikia amani na umoja wa taifa.

Aidha amesema atatumia fursa hiyo kuipigia debe mswada wa 2020 wa marakebisho ya katiba kupitia mpango wa maridhiano ya kitaifa BBI akisema ina manufaa mengi kwa wananchi.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa