WILLY PAUL AANIKWA BAADA YA KUMPA UJAZITO MSANII CHIPUKIZI NA KUMKIMBIA.

You are currently viewing WILLY PAUL AANIKWA BAADA YA KUMPA UJAZITO MSANII CHIPUKIZI NA KUMKIMBIA.
  • Post category:Burudani

Msanii wa kike anayechipukia kwenye muziki wa Gengetone nchini amejitokeza na kudai kwamba ana mimba ya Staa wa muziki nchini Willy Paul.

Mrembo huyo ambaye anafahamika kama “Dee” amedai kwamba Willy Paul amemkimbia tangu ampe uja uzito, hivyo amehamua kuweka wazi masaibu yake  ili mtoto wake atakayezaliwa apate malezi kutoka kwa msanii huyo.

Hata hivyo Willy Paul hajetoa tamko lolote kuhusu tuhuma zilizoibuliwa na mrembo huyo ila wajuzi wa mambo wanahisi kwamba huenda mwanamke huyo amelipwa na Willy Paul kuibua madai hayo ili aweze kuzungumziwa kwenye habari za burudani nchini.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa