WHOZU ATANGAZA KUJA NA EP MPYA

You are currently viewing WHOZU ATANGAZA KUJA NA EP MPYA
  • Post category:Burudani

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania maarufu kama whozu ametangaza kuja na EP yake ya nyimbo 5.

Whozu kupitia akaunti yake ya Instagram alitangaza ujio huo wa EP yake alipokuwa siku ya kusherehekea tarehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake, ‘Machi 10’ mwaka wa 2021.

Katika taarifa hiyo, Whozu hakubainisha jina na tarehe ya ujio project hiyo ambapo alieleza kuwa EP hiyo itabeba nyimbo ambazo atahakikisha zinafanye vizuri sokoni.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa