WAUGUZI TRANS-NZOIA WAANDAMANA KUDAI MISHAHARA YAO.

You are currently viewing WAUGUZI TRANS-NZOIA WAANDAMANA KUDAI  MISHAHARA YAO.

Wauguzi katika kaunti ya Trans-Nzoia, hii leo wamepiga kambi nje ya lango la bunge la kaunti hiyo wakilalamikia kukosa mishahara kwa miezi mbili sasa

Wauguzi hao wanasema wamekuwa katika mgomo kwa miezi miwili, hii ni baada ya serikali ya kaunti kudinda kutia sahihi makubaliano ya kurejea kazi kama ilivyoagizwa na baraza la magavana nchini

Wauguzi hao sasa wanamtaka Gavana wa kaunti hiyo Patrick Khaemba kuingilia kati mara moja huku wakisisitiza kwamba watarejea kazini pindi tu maslahi yao yatakapoangaziwa.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa