WAKULIMA WADINDA KUWASILISHA MAHINDI YAO KWA BODI YA NCPB KWA HOFU YA KUTOLIPWA

You are currently viewing WAKULIMA WADINDA KUWASILISHA MAHINDI YAO KWA BODI YA NCPB KWA HOFU YA KUTOLIPWA
  • Post category:Biashara

Wakulima bonde la ufa wameelezea wasiwasi wao  kutokana na deni la Shilingi bilioni kumi na sita zinazodaiwa bodi ya mazao na nafaka nchini NCPB na benki  ya KCB ambalo limepelekea kusitishwa malipo ya ununuzi wa mahindi kwa Shilingi alfu mbili mia saba.

Mwenyekiti wa wakulima kaskazini mwa bonde la ufa Kipkorir Menjo anasema hali hii imezua wasiwasi miongoni mwa wakulima ambao kwa sasa wamedinda kuwasilisha mahindi yao katika bodi hiyo wakihofia kukosa malipo.

Alex Toilem

Mwandishi, mhariri na msomaji wa habari Northrift Radio 104.9/104.5FM kapenguria.