WAKULIMA WA KAHAWA BUNGOMA WATAKA LESENI KUUZA MAZAO YAO.

Wito umetolewa kwa serikali ya kaunti ya bungoma kuwatafutia  wakulima wa zao la kahawa leseni itakayowawezesha  kuuza zao hilo kwa bei nafuu ili kuinua pato lao.

Mwenyekiti wa chama cha ushirika cha Kimabole eneo Bunge la Mlima Elgon Robert Sikulu anahoji kuwa iwapo serikali ya kaunti hiyo itawapa leseni ya kuuza zao hilo, wakulima wataweza kunufaika pakubwa na kilimo hicho ikilinganishwa na sasa ambapo bei yake ni duni

Aidha Sikulu amewalaumu wauzaji zao hilo kwa kile anachodai kukawia kuuza kahawa hali ambayo inachangia kushuka ubora wake.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa