VIONGOZI WA KISIASA TRANS-NZOIA WAMETAKIWA KUKUMBATIA SIASA ZA SERA NA MAENDELEO.

Wito umetolewa kwa wanasiasa   kukumbatia siasa za sera na maendeleo badala ya kujihusisha na siasa za kuwagawanya wakenya.

Akihutubu  katika eneo bunge la Chearangani, Mshauri Mkuu wa Kisheria katika Afisi ya Naibu wa Rais Dkt Adrahama Singoei. ambaye amatangaza kuwania kiti cha ugavana Kaunti ya TransNzoia amewashauri wenyeji kaunti hiyo kuwa siasa za maneno matupu imepitwa na wakati , hivyo ni wajibu wa wananchi  kuwapiga msasa wale wote  wanaotafuta uongozi nchini kwa kufuata utendakazi wao.

Aidha Dkt Singoei ametoa wito kwa umma kujiepusha na siasa  za migawanyiko na badala yake kukumbatia umoja wa kitafa kwa kuwachagua viongozi watakaowatekelezea maendeleo na kuwajibikia vyema matumizi ya fedha za umma kwa ajili ya maendeleo Kaunti hiyo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa