URUSI: WANASIASA WA UPINZANI NA WAANDISHI WA HABARI 200 WAKAMATWA

You are currently viewing URUSI: WANASIASA WA UPINZANI NA WAANDISHI WA HABARI 200 WAKAMATWA


Vyombo vya Usalama nchini Urusi vimewakamata Wanasiasa 200 wa Upinzani na Viongozi wa Manispaa waliokuwa kwenye mkutano Mjini Moscow.

Mkutano huo uliowakutanisha Viongozi na Wafuasi wa Upinzani kutoka majimbo 50 ya Urusi ulivamiwa na Polisi na kuwakamata washiriki ikiwemo Viongozi Waandamizi wa Upinzani pamoja na Waandishi Habari.

Walikusanyika kujadili Uchaguzi wa Bunge na Serikali za Mitaa utakaofanyika mwezi Septemba 2021. Aidha, zaidi ya Waandamanaji 1,000 nao wako mikononi mwa Polisi

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa