TANASHA AFIKISHA FOLLOWERS MILLIONI 3 KWENYE MTANDAO WA INSTAGRAM.

You are currently viewing TANASHA AFIKISHA FOLLOWERS MILLIONI 3 KWENYE MTANDAO WA INSTAGRAM.
  • Post category:Burudani

Staa wa muziki nchini Tanasha Donna amefikisha zaidi ya followers millioni 3 kwenye mtandao wa Instagram.

Tanasha Donna ambaye anafanya vizuri na mkwaju wake wa Kalypso hakuficha furaha yake ya kufikisha jumla ya Wafuasi million  3.1 kwenye mtandao huo kwani ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwapa mashavu mashabiki wake kwa kumpa support kwenye shughuli zake za kimuziki ikizingatiwa kuwa sio jambo rahisi kushawishi watu kumfuatilia kwenye mitandao ya Kijamii

Kwa matokeo hayo Tanasha Donna anakuwa msanii wa kwanza wa kike nchini kuwa na  followers wengi zaidi  kwenye mtandao wa Instagram akifuatwa na Akothee aliye na followers million 2.6.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa