SERIKALI IMETAKIWA KUSITISHA MPANGO WA KUAGIZA MAZIWA KUTOKA MATAIFA YA KIGENI.

You are currently viewing SERIKALI IMETAKIWA KUSITISHA MPANGO WA KUAGIZA MAZIWA KUTOKA MATAIFA YA KIGENI.
  • Post category:Biashara

Serikali imetakiwa kukoma kuagiza maziwa kutoka mataifa ya kigeni na badala yake kuekeza nchini.

Mwanachama wa kamati ya Kilimo katika Bunge la Kitaifa Ferdinand Wanyonyi amesema kwamba wafugaji wengi wa ngombe wa maziwa hawajakuwa wakipata faida ya kutosha kutokana na bei duni.

Wanyonyi ambaye pia ni Mbunge wa Kwanza kaunti ya Trans- Nzoia amesema kwamba mataifa wanachama wa Afrika Mashariki kama vile Uganda linaelekea kuipiku Kenya kwa kuzalisha maziwa kutokana uwepo wa soko nzuri.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa