SAUTI SOL WADOKEZA UJIO WA COLLABO YAO NA MSANII WA BONGO FLEVA JUMA JUX.

You are currently viewing SAUTI SOL WADOKEZA UJIO WA COLLABO YAO NA MSANII WA BONGO FLEVA JUMA JUX.
  • Post category:Burudani

Kundi la  muziki nchini Sauti Sol limewaacha mashabiki wao na maswali mengi baada ya kupost picha  ya pamoja na msanii wa Bongo fleva Juma Jux.

Kupitia ukurusa wao wa instagram sauti sol wamepost picha wakiwa na Juma Jux kwenye mazingira ya studio yenye caption inayoashiria kuwa kuna uwezekano wa kundi hilo  kufanya wimbo wa pamoja na msanii huyo wa bongofleva.

Iwapo Sauti Sol watafanikisha mpango wa kufanya collabo na Juma Jux watakuwa wasanii wa pili kufanya kazi na msanii huyo baada ya Otile Brown ambaye tayari ana wimbo nae uitwao “Regina.”

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa