SAFARICOM WAZINDUA KITUO KIPYA CHA AFYA BARINGO.

You are currently viewing SAFARICOM WAZINDUA KITUO KIPYA CHA AFYA BARINGO.

Kaunti ya Baringo kwa ushirikiano na wakfu wa Safaricom umefungua rasmi kituo kipya cha utegemezi wa kuwahudumia kina mama na watoto wachanga katika hospitali ya kaunti ya Baringo kilichojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 11, mpango ambao utaboresha upatikanaji wa huduma bora za afya ya mama na mtoto

Kufunguliwa kwa kituo hicho sasa kutawezesha ongezeko la vitanda nane hadi 36 kuimarisha huduma za afya katika kaunti hiyo

Kwa mjibu wa Rita Okuthe ambaye ni mdhamini wa Kampuni ya safaricom amesema wakfu huo umejitolea kufanya kazi na kaunti ya baringo ili kuboresha maisha ya akina mama na watoto katika kaunti hiyo.

Ikumbukwe kuwa mwaka uliopita wakfu wa safaricom ulifanikisha ujenzi wa kituo cha afya cha Barwessa na hospitali ndogo ya Chemolingot kwa gharama ya shilingi milioni 21.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa