PIA PONDS AKIRI KUACHA MUZIKI MARA BAADA YA KUBEZWA MITANDAONI.

You are currently viewing PIA PONDS AKIRI KUACHA MUZIKI MARA BAADA YA KUBEZWA MITANDAONI.
  • Post category:Burudani

Mwanamuziki kutoka nchini Uganda Pia Ponds amekiri kuwa kuna kipindi karibu aache muziki baada ya watu kumshambulia  na matusi kwenye mitandao ya kijamii.

Akiwa  kwenye moja ya Interview Pia Ponds amesema  uongozi wa lebo ya  muziki ya Big Talent ulimshauri jinsi ya kukabiliana na  matusi ambayo alikuwa akipokea kutoka kwa mashabiki wake.

Aidha amesema licha ya muziki wake kubezwa na baadhi ya wadau wa muziki nchinin Uganda anaamini kwamba kuna siku muziki wake utakubalika  kote duniani.

Ikumbukwe kwa miaka kadhaa sasa Pia Pounds amekuwa akishambulia kwenye mitandao ya kijamii lakini inaonekana amezoea hali hiyo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa