NAOMI AMCHAPA SERENA WILLIAMS NUSU FAINALI-AUSTRALIA OPEN.

You are currently viewing NAOMI AMCHAPA SERENA WILLIAMS NUSU FAINALI-AUSTRALIA OPEN.
  • Post category:Michezo


Mcheza tenisi naomi osaka ametinga fainali ya Australian Open mwaka wa 2021 baada ya kumfunga Serena Williams kwa seti mbili za 6-3 6-4 kwenye mchezo wa nusu fainali Usiku .

Fainali itapigwa Siku ya Jumamosi na atakutana na Jennifer Brady aliyetinga Fainali baada ya kumfunga Karolína Muchová kwa seti tatu za 4-6, 3-6 na 4-6 katika mchezo wa nusu fainali.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa