NANDY AKANA MADAI YA KUWA MJAMZITO

You are currently viewing NANDY AKANA MADAI YA KUWA MJAMZITO
  • Post category:Burudani

Mwanamuziki wa bongo fleva, ‘Nandy’ amesema kuwa watu wengi wana hofu  kwamba huenda akawa mjazito lakini ukweli ni kwamba hana mimba.

Nandy ambaye anafanya vizuri na wimbo wake wa “Leo Leo” amesema kuwa ameshapata maswali mengi kuhusiana na tumbo lake baada ya kuweka picha ya mwanamke mjamzito kwenye profile yake ya mtandao wa whatsapp, hivyo kupokea maswali mengi kuhusiana na hilo.

Hata hivyo mrembo huyo ambaye yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na Billnas amekanusha taarifa za kuachana na mpenzi wake huyo ambaye ni mwanamuziki wa Bongo fleva.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa