NADIA MUKAMIA ANG’AA KWENYE TUZO ZA ZURI AWARDS 2021

You are currently viewing NADIA MUKAMIA ANG’AA KWENYE TUZO ZA ZURI AWARDS 2021
  • Post category:Burudani

Nyota wa muziki nchini Nadia Mukami ameshinda tuzo ya Zuri Awards mwaka wa 2021 kupitia kipengele cha Finance Category.

Nadia Mukami ameshare taarifa hiyo nzuri kwa mashabiki zake kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kusema kwamba ana furaha kushinda tuzo hiyo kupitia mpango wake uitwao Finance Discipline Journey.

Finance Discipline Journey ni mpango ambao Nadia Mukami alianzisha kwa ajili ya kuwahimiza vijana nchini kujenga tabia ya kuweka akiba.

Ikumbukwe  Tuzo za Zuri Awards hufanyika kila mwaka kwa lengo la kutoa heshima na kusherekea wanawake ambao  wamebadilisha jamii kupitia njia mbali mbali za kimaendeleo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa