MUDAVADI: USHINDI WA CHAMA CHA ANC, MATUNGU WAASHIRI KUUNGANA KWA VIONGOZI MAGHARIBI MWA KENYA.

You are currently viewing MUDAVADI: USHINDI WA CHAMA CHA ANC, MATUNGU WAASHIRI KUUNGANA KWA VIONGOZI MAGHARIBI MWA KENYA.

Ushindi wa Peter Navulondo wa chama cha ANC katika eneo bunge la Matungu umeonyesha dhahiri kwamba eneo la Magharibi limeungana.

Ndio kauli ya Kinara wa chama cha ANC Musalia Mudavadi anayesema kwamba wataungana na kiongozi wa FORD Kenya Moses Wetangula pamoja na viongozi wengine kuhakikisha kwamba eneo la Magharibi linaungana na kusalia imara kuelekea uchaguzi mkuu mwaka ujao wa 2022

Aidha Mudavadi anasema sasa ni wakati wa vyama vingine vya kisiasa sawa na viongozi wao kuwaunga mkono viongozi wa Magharibi ya nchi kwenye azma yao ya kuongoza taifa la kenya kupitia kiti cha urais.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa