MSWADA WA MAREKEBISHO YA KATIBA MWAKA 2020 KUWASILISHWA KESHO KATIKA BUNGE LA KAUNTI YA NANDI.

You are currently viewing MSWADA WA MAREKEBISHO YA KATIBA MWAKA 2020 KUWASILISHWA KESHO KATIKA BUNGE LA KAUNTI YA NANDI.

Mswada wa marekebisho ya katiba mwaka wa 2020 inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la kaunti ya Nandi hapo kesho kabla ya kuelekezwa kwa wananchi mashinani.

Spika wa bunge la kaunti ya Nandi Joshua Kiptoo amesema kuhusishwa kwa wananchi kuna manufaa makubwa kuelekea kufanikisha mchakato wa katiba kufanyiwa marekebisho nchini.

Kiptoo amesema bunge hilo litaangazia pakubwa maoni yanayotolewa na wananchi kabla ya kuafikia uamuzi wa kupasisha au kuangusha mswada huo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa