MSANII WA BONGOFLVA WHOZU AKANA KUWA KWENYE MAHUSIANO YA KIMPENZI NA ALIYEKUWA MKE WA HARMONIZE, SARAH.

You are currently viewing MSANII WA BONGOFLVA WHOZU AKANA KUWA KWENYE MAHUSIANO YA KIMPENZI NA ALIYEKUWA MKE WA HARMONIZE, SARAH.
  • Post category:Burudani

Nyota wa muziki wa Bongofleva, Whozu amekemea vikali picha inayo sambaa mitandaoni ya watu wawili wanaohisiwa kuwa ni wapenzi, mwanaune pichani akihusishwa kuwa ni yeye.

Picha hiyo mara ya kwanza aliipost aliyekuwa mke wa harmonize Sarah kwenye insta story yake kwenye mtandao  wa Instagram, huku tafsiri ikiwa ni mwanaume mpya wa mwanadada huyo ambaye ni mtalaka wa msanii Harmonize.

Mwanaume huyo ambaye haonekani sura kwenye picha hiyo anahusishwa kuwa ni Whozu, kitu ambacho kimeleta tafsiri ya kuwa wawili hao wapo katika mahusiano kulingana na aina hiyo ya picha.

Whozu kupitia ukurasa wake wa Instagram, amenyoosha maelezo kwa staili hii, “Kwa hivyo siku hizi mimi nina hips? Kwamba MTU akivaa nguo ya juu nyie mnampa viatu? Acheni hizo mkoje”.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa