MKATABA LIONEL MESSI WAVUJA,WATAJWA KUVUNJA REKODI KWENYE HISTORIA YA SOKA.

You are currently viewing MKATABA LIONEL MESSI WAVUJA,WATAJWA KUVUNJA REKODI KWENYE HISTORIA YA SOKA.
  • Post category:Michezo

Mkataba wa Lionel Messi na klabu ya Barcelona umevuja, unatajwa kuweka rekodi kwenye historia ya mpira. Mkataba huo unaeleza kwamba Messi atapokea kiasi cha dolla milioni 673.9 ambazo ni sawa na takriban shillingi millioni 74 za Kenya kwa misimu Minne kama kila kitu kitaenda sawa kama walivyokubaliana.

Gazeti la El Mundo la nchini Uhispania ndilo limechapisha mkataba huo ambao Messi alisaini mwaka 2017 na unatajwa kuwa mkataba mkubwa zaidi kuwahi kusainiwa na mwanamichezo.

Baada ya kutoka kwa taarifa hiyo jana Jumapili, leo Lionel Messi na Barcelona wameripotiwa kuchukua hatua za kisheria kwa yeyote aliyevujisha mkataba huo ndani ya klabu lakini pia gazeti la El Mundo.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa