MAREKANI: IKULU YATAKA TAASISI KUCHUKUA TAHADHARI BAADA YA MICROSOFT EXCHANGE KUDUKULIWA

You are currently viewing MAREKANI: IKULU YATAKA TAASISI KUCHUKUA TAHADHARI BAADA YA MICROSOFT EXCHANGE KUDUKULIWA

Ikulu ya Marekani imeonesha wasiwasi wake baada ya shambulio dhidi ya huduma ya Exchange ya Microsoft na kuzitaka Taasisi Binafsi na za Serikali zilizoathiriwa kuchukua hatua za haraka ili kuepusha madhara zaidi.

Msemaji wa Ikulu ya Marekani, Jen Psaki ametaja kitendo cha udukuzi kwenye ‘server’ za Microsoft kuwa shambulio la wazi, akisema mianya iliyoonekana katika ‘server’ hizo zilizotumiwa na wadukuzi inaweza kuwa na madhara zaidi.

Microsoft imeilaumu China kufadhili shambulio hilo la kidigitali ambalo limeathiri maelfu ya Taasisi Nchini Marekani.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa