LIGI KUU ENGLAND: MANCHESTER UNITED KUKIPIGA DHIDI YA CRYSTAL PALACE

You are currently viewing LIGI KUU ENGLAND: MANCHESTER UNITED KUKIPIGA DHIDI YA CRYSTAL PALACE
  • Post category:Michezo

Baada ya kupata sare mbili za bila kufungana dhidi ya Real Sociedad kisha na Chelsea, Manchester United inasafiri hii leo kuelekea Selhurst kukipiga dhidi ya Crystal Palace mchezo utaopigwa saa 5 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Katika mchezo huo Kocha wa United, Ole Gunnar Solskjaer anatarajia kuwakosa wachezaji wake wawili muhimu ambao ni Paul Pogba na Phil Jones.

Michezo mingine itakayopigwa leo ni kati ya Burnley dhidi ya Leicester City na Sheffield United dhidi ya Aston Villa, saa tatu usiku.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa