LG INAJIPANGA KUACHA BIASHARA YA SIMU

You are currently viewing LG INAJIPANGA KUACHA BIASHARA YA SIMU
  • Post category:Teknolojia

Kampuni ya LG inajipanga kuachana na biashara ya simu na CEO wake Kwon Bong-seok amewajulisha wafanyakazi kuhusu mabadiliko mapya ambayo yataitoa LG katika biashara ya simu.

LG imepoteza zaidi ya dolla bilioni 4.5 na kuzidiwa soko na Samsung, Huawei, Apple, Xiaomi na Vivo; imeamua kuweka malengo katika biashara ya vifaa vingine kama vifaa vya majumbani. 

Mabadiliko haya hayatachukua muda mfupi ili kuipa nafasi ya LG kuamua kuuza brands zake za simu na kupanga namna ambavyo watumiaji wake wataendelea kupata updates na support katika simu ambazo zipo tayari katika soko.

Robert Elim

Robert Elim better known as Mtoto wa Nyumbani Roba is a new shade of light on the mainstream radio scene! He host an Entertainment show called Interact that usually runs every Monday to Friday from 1:00 PM to 4:00 PM and Interact Extra that runs every Saturday from 10:00 AM to 1:00 PM. Follow him on Twitter and Instagram @robertchiwawa